
*Yuster Nyakachara na Nacklyn Wolper hapo pichani walikuwa katika
maandalizi ya filamu kali *
*ya MAJUTO SI HASARA, Akiongea namasainyotambofu.com Yuster alisema kwamba
katika filamu hiyo amewashirikisha mastaa wengi sana wenye uwezo mkubwa wa
uigizaji na kikubwa zaidi wameitendea haki filamu hiyo ana uhakika
mashabiki wataifurahia.*
No comments:
Post a Comment
ADD COMMENTS