Translate

Thursday, December 26, 2013



LAANA HII!!! DENTI ABAKWA, AOZA SEHEMU ZA SIRI...

  INNOCENT MPUMBIYE at MPUMBIYE - 2 hours ago
*MWANAFUNZI au ‘denti’ wa kike,13, ( jina linahifadhiwa) anayesoma darasa la tano katika* * shule ya Msingi Unyakumi, mkoani Singida, amefanyiwa unyama kwa kubakwa na kijana aliyemtaja kwa jina moja la Mapunda ambaye ni dereva wa bodaboda.* *Akizungumza kwa shida kutokana na maumivu makali aliyonayo akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, denti huyo alisema kwamba mkasa huo ulimpata Novemba 19, mwaka huu wakati akitoka shule akielekea nyumbami kwao.* *Akisimulia mkasa huo mwanafunzi huyo alikuwa na haya ya kusema:“Mimi ni mtoto yatima wa kufiwa na baba... more »

MKOROGO WAMTIA ADABU WEMA SEPETU.AJUTA KUITUMIA.

  INNO at MPUMBIYE - 3 hours ago
*MISS Tanzania 2006 aliye pia staa wa filamu za Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amevunja* * ukimya kwa kuweka wazi kuwa, mkorogo umemtia adabu na anajuta kuutumia mwilini mwake.* *Akizungumza juzi na paparazi wetu ofisini kwake jijini Dar, Wema alisema kuwa baada ya kwenda kliniki nchini China na kupata matatibu ya ngozi yake ambayo sasa imerudi kama mwanzo amejifunza kitu.NI KITU GANI HICHO?Wema alisema amejifunza kuwa, binadamu anatakiwa kuishi alivyoumbwa na Mungu, mambo ya rangi ya mwili hayana nafasi katika uwezo wa binadamu.ALIAMINI USTAA NI LAZIMA UW... more »

NG'OMBE WA AJABU AJITOKEZA INDIA, ANA MIGUU MITANO.

  inno at mpumbiye - 3 hours ago
*A five-legged cow has been hailed a miracle because when pregnant women touch its fifth hoof they give birth to baby boys.Raj Pratap's three-year-old male calf, called Raju, has become famous in Raipur, India, since a woman with four daughters touched the animal's fifth hoof andbegged for her next child to be a boy.When she gave birth to a twin boys in February this year, word soon spread that the calf's fifth leg - a very rare condition which affects just one in every five million cows - was 'lucky'.Since news got out about the fifth leg, Mr Pratap, a ... more »

MKE WANGU ANANIPANGIA RATIBA ZA KUFANYA NAE MAPENZI...!! USHAURI JAMANI NIFANYEJE...??

mpumbiye at mpumbiye - 3 hours ago
*Habari yako Mnyetishaji...Mimi ni Kijana wa miaka 29 , Nimeoa miaka mitatu iliopita , kabla sijaoa nilikuwa najua nikishaoa na * *kuwa na mke wangu ndani issue ya matamanio ya kimwili itakuwa hainisumbui kwa kuwa nitakuwa na mke ndani kila nikitaka kitu napata, lakini imekuwa kinyume na nilivyofikiria..kwani nimekuwa mtumwa mke wangu ananipangia siku gani tufanye mapenzi kwa week mara 2 tu , siku zingine hataki kufanya chochote na mimi na nikilazimisha tunagombana na kutishia kuniacha...jamani hii ni sawa ?je nifanyaje? ama nitafute demu wa nje? *

KUWA MAKINI,Walaji wa 'kitimoto' kuugua Kifafa.

  mpumbiye at mpumbiye - 3 hours ago
*CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimehadharisha walaji wa nyama ya nguruwe nchini,* * kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata kifafa.Utafiti wa kisayansi uliofanywa na SUA, umebaini kuwa baadhi ya nguruwe wana minyoo aina ya tegu ambao nyama yao ikiliwa bila kuiva vizuri, mlaji atapata minyoo hiyo ambayo huingia kichwani na kusababisha kifafa.* *Mhadhiri na Mtafiti wa Idara ya Sayansi ya Wanyama na Uzalishaji ya SUA, Profesa Faustine Lekule, alisema sampuli za utafiti huo kutoka Mbeya, zimebaini nguruwe wengi wakiwamo wanaosafirishwa katika miji mikubwa wameathirika na miny... more »

Gari lakamatwa likiwa na pipi saba na mwili wa marehemu wenye pipi 7 tumboni za vitu vinavyosemekana kuwa ni dawa za kulevya.

  INNOCENT at mpumbiye - 3 hours ago
[image: SHILOGOLE] *Kutoka Morogoro taarifa ni kwamba jeshi la polisi la mkoa huo limefanikiwa kukamata gari ndogo aina ya * *Spacio likiwa na mwili wa marehemu ambapo zoezi hilo limefanikiwa baada ya taarifa kutoka kwa wasamaria wema.* *Kamanda wa polisi mkoa huo Faustine Shilogile amesema walipata taarifa za kuwepo kwa gari hilo ambalo lilikuwa linatokea Mbeya kuelekea Dar.* *Polisi wa mkoa wa Morogoro waliweka mtego kwenye kituo cha Mikumi hatimaye na kufanikiwa kukamata gari hilo likiwa na watu watatu,pipi saba za vitu vinavyosadikiwa kuwa ni dawa za kulevya na mwili wa marehemu.* ... more »

DIAMOND AMTAJA TENA WEMA KAMA MCHUMBA WAKE NA AKAPANDA JUKUANI KUWAPA HI MASHABIKI WA DIAMOND.

  INNOCENT at MPUMBIYE - 3 hours ago
[image: sdd]*Hii ilikuwa jana pale Leaders club kwenye show ya Diamond ambapo Wema Sepetu alipanda kwenye * *stage na kuongea na mashabiki waliofika kwenye show hiyo.* *Kwenye hiyo show Diamond aliuliza,”Mnataka kumjua mchumba wangu”?* *Show ilivyoendelea Diamond alitaka kuimba wimbo wa ukimwona akasema, “Naskia ninayetaka kumuimbia wimbo huu yupo humuhumu ndani”.* *Wema Sepetu akapanda kwenye stage wakaimba na kucheza wote.* [image: 994992_654719497904805_1370630389_n] [image: 379719_654725334570888_100223854_n] [image: 1499625_654740321236056_1133727884_n]

Je Unaweza Kumruhusu Mchumba Wako Atoke na Wewe Usiku Akiwa Amevae Hivi Kwenda Kwenye Pati ya Krismas? [PICHA]

 MPUMBIYE at MPUMBIYE THE DON - 6 hours ago
Kwa hiyo ndio kusema huu ndio mtindo gani aliovaa huyu binti? Jamani hii ni sawa kweli? Je unaweza kutoka naye akiwa maevaa hivi...? Angalia picha zaidi hapo chini...

PICHA ZA KRISMAS: Shamrashamra Pande Mbalimbali za Dunia [PICHA]

mpumbiye at mpumbiye - 6 hours ago
IndonesiaNimejaribu kukusanya baadhi ya picha nzuri za matukio ya Krismas kutoka pande mbalimbali Duniani kwa ajili yako ili uweze kuona nguvu ya Krismas ilivyo. Enjoy.... AustraliaFranceGreeceHong KongIndiaIsraelIsraelPakistanPalestineUK South Korea

JE, WEWE NI MMOJA KATI YA WATU WENYE AIBU MBELE ZA WATU WENGINE..?DAWA IKO HAPA.

  Mpumbiyeat mpumbiye - 1 day ago
*Watu wenye aibu ndani yao wanafahamu fika kuwa kuna mambo mazuri yanawapita lakini wanahisi hawana jinsi ya kubadilisha hali hiyo.* *Aibu kimahesabu ni sawa na:* *AIBU = KUKOSA FURSA + KUKOSA FURAHA + KUFAHAMIANA NA WATU WACHACHE* *Aibu ni kizuizi kikubwa sana kwa mwenye nayo kufikia mambo mazuri katika jamii.* *Lakini naomba nikuambie hata kama wewe ni mmoja wao kuanzia leo * *unaweza kubadilisha hali hiyo kwa kutumia hatua zifuatazo:* *1.MTAZAMO WAKO JUU YA WATU WENGINE* *Watu wenye aibu mara nyingi wanajaribu kujitofautisha na * *watu wapya wanaokutana nao na kuwapa hadhi ina... more »

No comments:

Post a Comment

ADD COMMENTS