Translate

Saturday, December 28, 2013

HAPPY NEW YEA
HAPPY NEW YEAR TO YOU ALL

Sunday, December 15, 2013

VIDEO:MSIBA WA TATA MADIBA #RAIS JAKAYA KIKWETE AFUNIKA KAMA ULIPITWA HOTUBA YOTE HII HAPA


LADY GAGA NA MADONNA WAWABURUZA KINA JAY ZEE NA BEYONCE KWA MKWANJA 2013

innocent at  mpumbiye

Jarida la kibiashara maarufu duniani limetoa orodha yw asanii waliolipwa zaidi kwa mwezi june 2012 had june 2013

1. Madonna - $125 million
2. Lady Gaga -  $80 million
3. Bon Jovi - $79 million
 4. Toby Keith - $65 million
5. Coldplay - $64 million.
6.  Justin Bieber - $58 million
7. Taylor Swift - $55 million
8. Elton John - $54 million
9. Kenny Chesney - $53 million
10. Beyonce - $53 million (tie)

11. Sean "Diddy" Combs - $50 million
12. Sir Paul McCartney - $47 million
13. Calvin Harris - $46 million
14. Jennifer Lopez - $45 million
15. Roger Waters - $44 million
16. Muse - $43 million (tie)
16. Rihanna - $43 million (tie)
18. Jay Z - $42 million
18. One Direction - $42 million (tie)
20. Dr. Dre - $40 million
20. Red Hot Chili Peppers ($40 million, tie)
22. Rolling Stones - $39 million (tie)
22. Katy Perry - $39 million (tie)
24. Tim McGraw - $33 million (tie)
25. Pink - $32 million (tie)
25. Tiƫsto - $32 million (tie)

  MPUMBIYE at MPUMBIYE - 4 hours ago
*Yuster Nyakachara na Nacklyn Wolper hapo pichani walikuwa katika maandalizi ya filamu kali * *ya MAJUTO SI HASARA, Akiongea namasainyotambofu.com Yuster alisema kwamba katika filamu hiyo amewashirikisha mastaa wengi sana wenye uwezo mkubwa wa uigizaji na kikubwa zaidi wameitendea haki filamu hiyo ana uhakika mashabiki wataifurahia.*

Jokate Mwegelo aeleza anachokipenda na asichokipenda kwa wasichana wa Tanzania.

Kama mrimbwende amewasifia wasichana wa Tanzania kwa jinsi wanavyojua kuweka sawa na kupendeza.
“kitu ambacho nakipenda, napenda kwa sababu wanapendeza, wanapenda like..kupendeza, wanajitunza vizuri.” Jokate amefunguka kupitia The Switch ya 100.5 Times Fm.
Lakini kwa upande wa kile ambacho anaona hakiko sawa, uvivu ndio anaoupigia mstari.
“Kitu ambacho sikipendi, ni kwamba…yaani sijui niseme kwamba hawajitumi sanaa. Yaani bado sijaona njaa ile.” Amesema Jokate.
“Kwa mfano ukiangalia kwa mfano Marekani sasa hivi, all top artists ni wasichana, kwa hiyo females wanahustle. Wasichana wakibongo tumezoea sijui kupewapewa au kutafuta kupitia njia za kimkatomkato. That’s a thing ambacho mimi sikipendi na sitakiappreciate maisha yangu yote.” Amefunguka Kidoti.
Amefunguka kuwa wasichana wana fursa nyingi zaidi ya wanaume na kwa kuwa wamepewa akili pia ni vyema wakazitumia kwa kiwango kinachotosha, “make the most of it.”
Lakini pia amekubali kuwa kuna wasichana wengi pia ambao wanaofanya vizuri , wasomi na wanaoweza kujituma na wanaongoza katika nyanja mbalimbali.

Angalia Picha Chafu Zilizochukuliwa Kutoka Kwenye Moja ya Filamu Inayotegemea Kutoka Hivi Karibuni [PICHA]


Hakika tasnia ya filamu kwa hapa bongo na hata baadhi ya nchi za Afrika zimekuwa zikipotosha na kuharibu jamii zetu hasa vijana.
Kwenye moja kati ya filamu ambazo inategeme kutoka hivi karibuni hizi ni baadhi ya shots zilizochukuliwa.

Cheki hii kwa mfano....




Je hii ni sahihi kwa maadili ya Kiafrika...?

Ronaldo Asema Atampa Messi Tuzo ya Ballon d’Or


Nguli wa mpira wa miguu toka Brazil, Ronaldo De Lima, amesema kwake yeye tuzo ya FIFA Ballon d’Or angempa Messi mbele ya Cristiano Ronaldo, gazeti la Evening Standard limetaarifu.

Akionyesha kutokuwa na upendeleo kwa mtu anayeshea naye jina, Ronaldo mwenye umri wa miaka 37 sasa, ambaye aliwahi kutwaa taji la Kombe la Dunia mara mbili yaani 1997 na 2003 alisema,  “Nitamchagua Messi kwa kuzingatia sababu za kiufundi..... Nitajaribu kuangalia mambo ya kuzingatia kuweza kuchagua nani mshindi atakuwa, ila mmi nadhani huu umekuwa ni mwaka mzuri kwake.”

Mtoto wa Peter Okoye wa P Square Tayari Ana Girlfriend [PICHA]


Mtoto handsome wa Peter Okoye na Lola Omotayo, Cameron hakika yupo njiani kuwa mtu wa watoto. Mama yake ameshea picha hizi za Cameron akiwa na Girlfriend wake. lol

Mama yake na mtoto huyo ameshea picha zao, angalia hapa>>


 

Thursday, December 26, 2013

MAMBO AMBAYO WANAUME WANAKOSEA WAKATI WA KUTONGOZA MWANAMKE.


1.PAPARA
wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya

mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako.

2.KUJIFAKE
wanaume wengi tumekuwa tukijipandisha au kujionyesha tofauti na hali zetu.ukiwa unaaproach jaribu kuwa real.huwezi kumwambia mdada unafanya kazi benki afu uko na techno

3.KUTOSOMA MOOD YA MWANAMKE

unapomuaproach mwanamke lazma usome mood yake coz sometime unaweza kutoswa coz hujamsoma mwanamke.unamtongozaje mwanamke asubuhi?,,

4.KUMPONDA UR EX LOVER

mwanamke anakuuliza kwanini uko single,unaanza kumponda ex wako kwa maneno ya kashfa hali kama hii inaweza kumtisha kisaikolojia umtongozae.

5.KULALAMIKA

Unamtongoza mwanamke huku unalalamika juu ya mapenzi oooh mara sijawahi kupendwa.mjomba hapo unaonyesha udhaifu wako.

KWELI DUNIA ADAA!! SOMA KISA HIKI CHA KUSIKITISHA

Hii imetokea wiki kadhaa zilizopita.
Kijana mmoja jirani yangu ana rafiki yake. Walikuwa
wanasoma pamoja. Ni marafiki wakubwa ambao hata wazazi wanajua. Walikuwa wanasoma pamoja na kushirikiana mambo mengi.

Kijana kaenda shule hakumkuta rafiki yake. Kuuliza akaambiwa anaumwa. Kwa mapenzi aliyo nayo kwa rafiki yake akaamua arudi nyumbani abadili nguo ili akamtembelee rafiki yake mgonjwa. 


Hapo ndipo alipokutana na zahama. Rafiki yake yuko juu anammega mama yake mzazi, tena sebuleni kwenye kochi! Kijana hakuamini macho yake, kwamba rafiki yake mpenzi anammegea mama yake mzazi!! 



Akatoka mbio mpaka kwa uncle wake kumweleza dhahama hiyo. Uncle kajaribu kuweka mambo sawa imeshindikana. Mama kanogewa, kijana kanogewa. Hivi sasa ni kama wameoana, mtaani wanarandaranda na gari ya mama yake rafiki yake, kijana dereva mama abiria! Wala si siri tena

Kijana wa watu amegoma kurudi nyumbani, rafiki yake amemsaliti. 


Amehamia kwa uncle wake. Kinachomuumiza kichwa zaidi ni kuwa dada zake wawili wanamuunga mkono mama yao. Hawaoni tatizo liko wapi wakati baba yao alishafariki na mama anahitaji pumziko.
Anachotaka sasa ni ushauri, alipe kisasi au asahau aendelee na hamsini zake?


Na kama ni kulipa kisasi, alipeje? Kijana wa watu amechanganyikiwa hata maendeleo yake darasani yameshuka sana.

Wanajamii changieni mawazo jinsi ya kumshauri kijana huyu asizidi kuathirika 
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

3 comments:

Pope Francis Ahutubia Kwenye Ibada Yake ya Kwanza ya Mkesha Wa Krismas Akiwa Pope wa Kanisa Katoliki [PICHA]

  mpumbiye at mpumbiye - 1 day ago
Pope Francis alifanya Ibada yake ya kwanza ya mkesha wa Krismasi akiwa kama Pope usiku wa Jumanne ndani ya St. Peter's Basilica, Vatican. Kwenye Ibada hiyo ya kwanza akiwa kama Pope wa Kanisa Katoliki, Pope Francis aliwataka watu kuacha majisifu na ubinafsi na kufungua mioyo yao kwa Mungu. Francis, ambaye amekuwa mtu wa kwanza kushika wadhifa huo toka nje ya Bara la Ulaya ndani ya miaka 1,300 mnamo mwezi March baada ya kujiuzuru kwa Pope Benedict IX, alihutubia maelfu ya watu waliojazana St Peters Basilica ndani ya Jiji la Vatican kwenye Mkesha huo wa Krismas. Kwenye Ibada hiyo ya... more »


LAANA HII!!! DENTI ABAKWA, AOZA SEHEMU ZA SIRI...

  INNOCENT MPUMBIYE at MPUMBIYE - 2 hours ago
*MWANAFUNZI au ‘denti’ wa kike,13, ( jina linahifadhiwa) anayesoma darasa la tano katika* * shule ya Msingi Unyakumi, mkoani Singida, amefanyiwa unyama kwa kubakwa na kijana aliyemtaja kwa jina moja la Mapunda ambaye ni dereva wa bodaboda.* *Akizungumza kwa shida kutokana na maumivu makali aliyonayo akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, denti huyo alisema kwamba mkasa huo ulimpata Novemba 19, mwaka huu wakati akitoka shule akielekea nyumbami kwao.* *Akisimulia mkasa huo mwanafunzi huyo alikuwa na haya ya kusema:“Mimi ni mtoto yatima wa kufiwa na baba... more »

MKOROGO WAMTIA ADABU WEMA SEPETU.AJUTA KUITUMIA.

  INNO at MPUMBIYE - 3 hours ago
*MISS Tanzania 2006 aliye pia staa wa filamu za Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amevunja* * ukimya kwa kuweka wazi kuwa, mkorogo umemtia adabu na anajuta kuutumia mwilini mwake.* *Akizungumza juzi na paparazi wetu ofisini kwake jijini Dar, Wema alisema kuwa baada ya kwenda kliniki nchini China na kupata matatibu ya ngozi yake ambayo sasa imerudi kama mwanzo amejifunza kitu.NI KITU GANI HICHO?Wema alisema amejifunza kuwa, binadamu anatakiwa kuishi alivyoumbwa na Mungu, mambo ya rangi ya mwili hayana nafasi katika uwezo wa binadamu.ALIAMINI USTAA NI LAZIMA UW... more »

NG'OMBE WA AJABU AJITOKEZA INDIA, ANA MIGUU MITANO.

  inno at mpumbiye - 3 hours ago
*A five-legged cow has been hailed a miracle because when pregnant women touch its fifth hoof they give birth to baby boys.Raj Pratap's three-year-old male calf, called Raju, has become famous in Raipur, India, since a woman with four daughters touched the animal's fifth hoof andbegged for her next child to be a boy.When she gave birth to a twin boys in February this year, word soon spread that the calf's fifth leg - a very rare condition which affects just one in every five million cows - was 'lucky'.Since news got out about the fifth leg, Mr Pratap, a ... more »

MKE WANGU ANANIPANGIA RATIBA ZA KUFANYA NAE MAPENZI...!! USHAURI JAMANI NIFANYEJE...??

mpumbiye at mpumbiye - 3 hours ago
*Habari yako Mnyetishaji...Mimi ni Kijana wa miaka 29 , Nimeoa miaka mitatu iliopita , kabla sijaoa nilikuwa najua nikishaoa na * *kuwa na mke wangu ndani issue ya matamanio ya kimwili itakuwa hainisumbui kwa kuwa nitakuwa na mke ndani kila nikitaka kitu napata, lakini imekuwa kinyume na nilivyofikiria..kwani nimekuwa mtumwa mke wangu ananipangia siku gani tufanye mapenzi kwa week mara 2 tu , siku zingine hataki kufanya chochote na mimi na nikilazimisha tunagombana na kutishia kuniacha...jamani hii ni sawa ?je nifanyaje? ama nitafute demu wa nje? *

KUWA MAKINI,Walaji wa 'kitimoto' kuugua Kifafa.

  mpumbiye at mpumbiye - 3 hours ago
*CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimehadharisha walaji wa nyama ya nguruwe nchini,* * kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata kifafa.Utafiti wa kisayansi uliofanywa na SUA, umebaini kuwa baadhi ya nguruwe wana minyoo aina ya tegu ambao nyama yao ikiliwa bila kuiva vizuri, mlaji atapata minyoo hiyo ambayo huingia kichwani na kusababisha kifafa.* *Mhadhiri na Mtafiti wa Idara ya Sayansi ya Wanyama na Uzalishaji ya SUA, Profesa Faustine Lekule, alisema sampuli za utafiti huo kutoka Mbeya, zimebaini nguruwe wengi wakiwamo wanaosafirishwa katika miji mikubwa wameathirika na miny... more »

Gari lakamatwa likiwa na pipi saba na mwili wa marehemu wenye pipi 7 tumboni za vitu vinavyosemekana kuwa ni dawa za kulevya.

  INNOCENT at mpumbiye - 3 hours ago
[image: SHILOGOLE] *Kutoka Morogoro taarifa ni kwamba jeshi la polisi la mkoa huo limefanikiwa kukamata gari ndogo aina ya * *Spacio likiwa na mwili wa marehemu ambapo zoezi hilo limefanikiwa baada ya taarifa kutoka kwa wasamaria wema.* *Kamanda wa polisi mkoa huo Faustine Shilogile amesema walipata taarifa za kuwepo kwa gari hilo ambalo lilikuwa linatokea Mbeya kuelekea Dar.* *Polisi wa mkoa wa Morogoro waliweka mtego kwenye kituo cha Mikumi hatimaye na kufanikiwa kukamata gari hilo likiwa na watu watatu,pipi saba za vitu vinavyosadikiwa kuwa ni dawa za kulevya na mwili wa marehemu.* ... more »

DIAMOND AMTAJA TENA WEMA KAMA MCHUMBA WAKE NA AKAPANDA JUKUANI KUWAPA HI MASHABIKI WA DIAMOND.

  INNOCENT at MPUMBIYE - 3 hours ago
[image: sdd]*Hii ilikuwa jana pale Leaders club kwenye show ya Diamond ambapo Wema Sepetu alipanda kwenye * *stage na kuongea na mashabiki waliofika kwenye show hiyo.* *Kwenye hiyo show Diamond aliuliza,”Mnataka kumjua mchumba wangu”?* *Show ilivyoendelea Diamond alitaka kuimba wimbo wa ukimwona akasema, “Naskia ninayetaka kumuimbia wimbo huu yupo humuhumu ndani”.* *Wema Sepetu akapanda kwenye stage wakaimba na kucheza wote.* [image: 994992_654719497904805_1370630389_n] [image: 379719_654725334570888_100223854_n] [image: 1499625_654740321236056_1133727884_n]

Je Unaweza Kumruhusu Mchumba Wako Atoke na Wewe Usiku Akiwa Amevae Hivi Kwenda Kwenye Pati ya Krismas? [PICHA]

 MPUMBIYE at MPUMBIYE THE DON - 6 hours ago
Kwa hiyo ndio kusema huu ndio mtindo gani aliovaa huyu binti? Jamani hii ni sawa kweli? Je unaweza kutoka naye akiwa maevaa hivi...? Angalia picha zaidi hapo chini...

PICHA ZA KRISMAS: Shamrashamra Pande Mbalimbali za Dunia [PICHA]

mpumbiye at mpumbiye - 6 hours ago
IndonesiaNimejaribu kukusanya baadhi ya picha nzuri za matukio ya Krismas kutoka pande mbalimbali Duniani kwa ajili yako ili uweze kuona nguvu ya Krismas ilivyo. Enjoy.... AustraliaFranceGreeceHong KongIndiaIsraelIsraelPakistanPalestineUK South Korea

JE, WEWE NI MMOJA KATI YA WATU WENYE AIBU MBELE ZA WATU WENGINE..?DAWA IKO HAPA.

  Mpumbiyeat mpumbiye - 1 day ago
*Watu wenye aibu ndani yao wanafahamu fika kuwa kuna mambo mazuri yanawapita lakini wanahisi hawana jinsi ya kubadilisha hali hiyo.* *Aibu kimahesabu ni sawa na:* *AIBU = KUKOSA FURSA + KUKOSA FURAHA + KUFAHAMIANA NA WATU WACHACHE* *Aibu ni kizuizi kikubwa sana kwa mwenye nayo kufikia mambo mazuri katika jamii.* *Lakini naomba nikuambie hata kama wewe ni mmoja wao kuanzia leo * *unaweza kubadilisha hali hiyo kwa kutumia hatua zifuatazo:* *1.MTAZAMO WAKO JUU YA WATU WENGINE* *Watu wenye aibu mara nyingi wanajaribu kujitofautisha na * *watu wapya wanaokutana nao na kuwapa hadhi ina... more »